Thursday, February 4, 2016

Wednesday, February 3, 2016

Wednesday, March 13, 2013

Mambo ya Gesi Mtwara yaleta kizaazaa!!

Maandanmo makubwa yaliyafinyika Mtwara Mjini kupinga ujenzi wa bomba la gesi kutoka MnaziBay Mtwara kuelekea Dar es salaam. Hali hii imeleta mstuko mkubwa kwa serikali ya Tanzania hali kulazimika waziri mkuu Peter Mizengo Pinda kwenda kutafuta suluhu ya jambo hili. Lakini mpaka sasa hivi hali bado ni tete sana!! More news to come!!





Sunday, October 17, 2010

KARIBUNI CHUO CHA UHAZILI-MTWARA MJINI(MTWARA COMMERCIAL COLLEGE)

MKUU WA CHUO AKIPIPIGA 'LECTURE' DARASANI.....

UZURI WA HIKI CHUO UNAJIFUNZA SPIDI KWENYE 'TYPEWRITER'' KABLA HUJAANZA KUSHIKA COMPUTER, HIVYO HIKI CHUO NI MTAMBO WA KUZALISHA MASECRETARI WENYE SPIDI KWENYE KUANDIKA/KUCHAPA KWA COMPUTER.

(KWANI MASECRETARI WENGI MAOFISINI WANAONEKANA HAWANA SPIDI YA KUCHAPA YAANI NI MWENDO WA KOBE TU,NA IKITOKEA UMEME UMEKATIKA BASI NA KAZI IMELALA, HAWAWEZI KUTUMIA HIZI TYPEWRITER).


CHUO KIPO KATIKA HALI NZURI NA KINATOA MAFUNZO YAFUATAYO:

  • FULL SECRETARIAL DUTIES(SD)
  • OFFICE PRACTISE(OP)
  • ENGLISH STUDIES
  • COMPUTER STUDIES (ALL MICROSOFT OFFICE PROGRAMS, ADOBE PHOTOSHOP, INTERNET)

KIPO AFFILIATED NA VETA-KIPO LIGULA C, KWA JIONEE JUNCTION MITA 100 KUELEKEA BARABARA YA CHUNO.
KWA MAMOMBI TUMA:

MTWARA COMMERCIAL COLLEGE
BOX 655 MTWARA.
Email: mtwaracommercialcollege@yahoo.com
Simu: 0784578283
NYOTE MNAKARIBISHWA

KISA KILICHONITOA MACHOZI WAKATI NIPO MTWARA.

Kwa wale wakazi wa Mtwara,mtakuwa mnaijua vizuri ile barabara itokayo pale Ligula Hospitali inashuka chini kuelekea kwa Jionee, Cocobeach,TTC mpaka kiyangu, hii ni barabara kubwa na ina nzuri kwani ina kiwangi kizuri cha lami. Ukifika pale kwa jionee kuna junction, ile barabara inayoelekea CHUNO, na hapa ndipo kisa hiki kimelalia.

Hii barabara ilikuwa ipo kwenye service, labda inawezekana ukweli kwamba kipindi hiki cha uchaguzi mara nyingi barabara za huku mtwara nyingi zinafanyiwa marekebisho. Sasa Muhandisi wa hii barabara(Contractor) ni kijana flani wa makamu(miaka 35-40) simfamu kwa jina ila tu nikimwona mwona na wafanyakazi wengine wa barabara hii wakijishughulisha kuweka lami hii barabara.

Hivi majuzi huyu bwana, alitokea kumpenda(sidhani kama ni kumpenda au ni hulka ya mwili) mdada flani(jina nalihifadhi) ambae amepanga nyumba flani inatazama na hii barabara. ifahamike kwamba huyu dada alikaa zaidi ya miaka miwili hospitali na ni mwasirika wa VVU, na still anaendelea kutumia ARV kusogeza siku mbele, na hapo mtaani watu wote kama sio wengi wanamfamu vizuri tu huyu dada. Ikumbukwe kipindi cha nyuma miaka ya 2000 huyu dada kutokana na uzuri wake alikuwa 'matawi ya juu' sana!

Huyu Contractor bila kujua hilo(ni mkazi wa Dar) akaja siku hiyo pale kwake akamtongoza wakakubaliana, akalala nae.

Siku ya pili huyu bwana akaja tena, akanunua soda, akaket mduleni akaanza kunywa. Bahati nzuri mama mwenye nyumba siku hiyo alikuwepo pale na huu 'mchongo' alikuwa keshaupata. Basi yule mama nae akaenda kukaa na yule baba pale mduleni, na 'akamchana live' kwamba ulyefanya nae ngono jana ni muathirika ana UKIMWI......

Ngoja niwaambieni..huyu dada ni ''muuaji'' kiufupi,alicheza sana kipindi cha 'balehe' yake,labda kwa sababu ya uzuri wake. Wakati yupo hospitali manesi walikuwa wakisema aliruhusu kuingiliwa nje ya maumbile na kusababisha kupigwa 'bomba' na ikafikia hatua kwamba sehemu kubwa ya viungo vyake vya ndani(utumbo) vimeshaharibika, na isitoshe miguu yake imeshapoteza nguvu(haina balance), ni juzi tu alianguka kwenye ngazi za kupandia bafuni na kusababisha mguu wake mmoja kuvunjika na tayari keshawekwa kopa(POP).

Na yule daktari aliyemtibu huo mguu alikuja kumuangalia pale home kwake na baadae aliwaambia wapangaji wengine kwamba eti wakati anamweka kopa alikuwa anamtega kumshikashika' wakati yeye(dokta) ndiye aliyekuwaw anasupply ARV kwa huyoo dada. Isitoshe siku moja mtoto kiume wa mama mwenye nyumba aliitwa chumbani kwa huyu dada ili amkrekebishie TV yake,akampa na bia moja, jamaa akawa anakunywa, bia ilipofika nusu yule dada akaanza kumtega kumkumbatia n.k. Jamaa kuona hivyo akaruka na kuondoka zake. Baada ya masa kadhaa kupita jamaa akarudi amelewa na akaanza kumtusi yule dada ikawa kama kuna ugomvi hivi....so huyu dada anafanya makusudi kuwafata wanaume ilhali anajua yeye ni mgonjwa. Sina uhakika kama huyu Contractor alimtongoza au huyu dem alimtega na jamaa akaingia kichwakichwa...

Yule baba alivunja ile soda aliyekuwa anakunywa palepale, akaanza kulia na kutoa michozi huku akisema kwa uchungu kwamba alikuwa hakujua hilo, mbaya zaidi alisema kwamba kabla ya kukutana nae alienda duka la jirani kununua Condomz, lakini yule dada alikataa katakata kutumia kondom nna jamaa akaziweka kando....kikubwa zaidi wakati analia akisikika akisema kwamba ana mke na watoto, na hajui atamwambia nini mke wake akirudi huko Dar.

Baada ya siku mbili kupita tangu ule mkasa niliona magari ya mchanga yakija na kuanza kusomba zile changarawe ambazo ilibidi zitumike kwenye ile barabara na mpaka sasa hivi hii barabara ina changarawe zenye vumbi na ule uji wa lami haujawekwa bado, nilijaribu kuwauliza wale jamaa wakiopaikiza changanrawe kulikoni walisema yule contractor kaenda Dar es salaam..sasa sikujua kwamba mkataba kaukatisha au ilikuaw vp wameiacha hii barabara na vumbi lake...Hiki ni kisa cha kweli na kimeniskitisha sana .

JK KUMBE 'ANA-AKILI' MTWARA HATUHITAJI TENA MELI...

Ni kawaida kukuta hali hii ukiwa njiani.....sikupata taarifa kuhusu abiria wa gari hii...

Hapa ni Nangurukuru...Hata Maabasi ya NAJMA ni mapya kabisa kwa wale abiria wa Nachingwea!!,Mengine ni MAHUTA EXPRESS, THE BLUES_CHELSEA, BUTI n.k.Hey Mlio ughaibuni Mtwara Inapaa sasa hivi...Mabasi yanatoka stend ya Mtwara saa 2 asubuhi,na sio tena saa 11 alfajiri kama zamani...na yanafika Dar saa 9 alasiri.


SAFARI YANGU YA DAR ILIWEZESHWA NA HII 'BUS'
Mpaka Royal Coach zinatimba Mtwara..ila niwajuze tu,hili bus huduma zake za ndani sijazipenda!!Hawajaweza bado kushindana na bus za SUMRI na NG"ITU..humo ndani utapata soda,biscuits, keki...vilevile utasoma magazeti n.k. Hili bus ingawa ni 'ROYAL' lakini huwezi pata huduma hizi...!!

Wednesday, October 13, 2010

WAMUONA JK...SPANA(GLASS) MKONONI...!!


HUYU NDIE NTONDOLE MURJI...MANYABIASHARA WA KIHINDI MAARUFU SANA KANDA YA HUKU KUSINI...ALIWAHI KUWA MBUNGE MAENEO FLANI,LAKINI MPAKA LEO WATU WA HUKO HAWATAKI HATA KUMSIKIA.....TAFAKARI!!!

WAMUONA JK...SPANA(GLASS) MKONONI...!!

HUYU NDIE NTONDOLE MURJI...MANYABIASHARA WA KIHINDI MAARUFU SANA KANDA YA HUKU KUSINI...ALIWAHI KUWA MBUNGE MAENEO FLANI,LAKINI MPAKA LEO WATU WA HUKO HAWATAKI HATA KUMSIKIA.....TAFAKARI!!!
HUYU NDIE NTONDOLE MURJI...MANYABIASHARA WA KIHINDI MAARUFU SANA KANDA YA HUKU KUSINI...ALIWAHI KUWA MBUNGE MAENEO FLANI,LAKINI MPAKA LEO WATU WA HUKO HAWATAKI HATA KUMSIKIA.....TAFAKARI!!!

WAWEZA KUAMINI BAADA YA SHOW WATU WALITAWANYIKA KABLA JK HAJAFIKA?


BAADA YA SHOW ...WATU HAOOOOOOO..

JAMANI HUYU SIO MICHUZI ????

MARLAW,KOPA NA ALBINO NAO WAMO

Aagh mi' nilienda kuangalia 'VIDUKU" tu!!

HAYA NDIO MACOSTA YAKIYOSOMBA WATU TOKA PANDE ZA MJI..

DIAMOND ALI''WASHIKA'' WAKAZI WA MTWARA........!!
HATA KABLA YA MKUTANO HAUJAISHA...WATU HAO WANASUBIRI MILANGO IFUNGULIWE WAANZE KURUDI MAKWAO.........
BAADA YA KUSOMBA SANA WATU PANDE ZA ZIWANI, MIKINDANI, KIYANGA,CHUNO, MBAE,MKANGARA NA MAENEO MENGINE...HAYA MACOSTA YALIKUWA YANASUBIRI MKUTANO UISHE YAANZE KURUDISHA WATU. JIONEENI WENYEWE WAZEE.

Monday, September 13, 2010

Monday, February 9, 2009

MY FAVOURITIES.......

HUYU NAE YUPO YUPO........I LIKE HER.
HUWA NAMZIMIKIA SANA HUYU DADA STEJINI......MALLIKA SHERAWAT.
USIPIME MZIKI WAKE HAPO...........!!
MY FAVOURITE TENNIS PLAYER....SIR. ROGGER FEDERDER.
MY FAVORITIES TENNIS PLAYERS,VENUS AND SERENA WILLIAMS
MY FAVORITIES PHOTO OF THE DAY.....!!

NI NANI ANAWEZA KUFANYA KUFURU KAMA HII??ETI SHAR-KHAN KAMZIDI OPHRAH??NG'OOOO!!

Sunday, February 8, 2009

JE MNAWAKUMBUKA HAWA,PLEASE NAOMBA MAJINA YAO



Kwa dondoo tuu,huyu ndio ndio celebrity ambaye alikuja kupotea kabisa kwenye ulimwengu wa macelebrity,anavuta sana bangi huyu dada...

Thursday, January 29, 2009

HIKI NDICHO KIKOSI CHA MAANGAMIZI CHA KERALA-TKMC

Tuesday, January 27, 2009

KWELI MWANZO UNA MWISHO.....FROM FRESHERS HADI SENIORS!! MNAKUMBUKA NINI HAPO WAHUSIKA?


CHEKI MAMBO YA KICHAWI HAYO.......!!!


d like to share this message that I read ealiear

"UCHAWI WA HESABU NDIO HUU"

1 x 8 + 1 = 9
12 x 8 + 2 = 98
123 x 8 + 3 = 987
1234 x 8 + 4 = 9876
12345 x 8 + 5 = 98765
123456 x 8 + 6 = 987654
1234567 x 8 + 7 = 9876543
12345678 x 8 + 8 = 98765432
123456789 x 8 + 9 = 987654321

1 x 9 + 2 = 11
12 x 9 + 3 = 111
123 x 9 + 4 = 1111
1234 x 9 + 5 = 11111
12345 x 9 + 6 = 111111
123456 x 9 + 7 = 1111111
1234567 x 9 + 8 = 11111111
12345678 x 9 + 9 = 111111111
123456789 x 9 +10= 1111111111

9 x 9 + 7 = 88
98 x 9 + 6 = 888
987 x 9 + 5 = 8888
9876 x 9 + 4 = 88888
98765 x 9 + 3 = 888888
987654 x 9 + 2 = 8888888
9876543 x 9 + 1 = 88888888
98765432 x 9 + 0 = 888888888

Brilliant, isn't it?
Cheki na hii symmetry:

1 x 1 = 1
11 x 11 = 121
111 x 111 = 12321
1111 x 1111 = 1234321
11111 x 11111 = 123454321
111111 x 111111 = 12345654321
1111111 x 1111111 = 1234567654321
11111111 x 11111111 = 123456787654321
111111111 x 111111111=123456789 87654321

Now, take a look at this...

101%

From a strictly mathematical viewpoint:

What Equals 100%? What does it mean to give MORE than 100%?

Ever wonder about those people who say they are giving more than 100%?

We have all been in situations where someone wants you to GIVE OVER 100%.

How about ACHIEVING 101%?

What equals 100% in life?

Here's a little mathematical formula that might help answer these questions:

If:

A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z

Is represented as:

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26.

If:

H-A-R-D-W-O- R- K

8+1+18+4+23+ 15+18+11 = 98%

And:

K-N-O-W-L-E- D-G-E

11+1 4+15+23+ 12+5+4+7+ 5 = 96%

But:

A-T-T-I-T-U- D-E

1+20+20+9+20+ 21+4+5 = 100%

THEN, look how far the love of God will take you:

L-O-V-E-O-F- G-O-D

12+15+22+5+15+ 6+7+15+4 = 101%

Therefore, one can conclude with mathematical certainty that:

While Hard Work and Knowledge will get you close, and Attitude will get you there, It's the Love of God that will put you over the top!

KWELI WABONGO WABISHI ....!!!!


5000 candidates assembled in a large room. One candidate is a man from Bongo.

Bill Gates: "Thank you for coming. Those who do not know JAVA may leave" 2000 people leave the room immediately.

Man from Bongo says to himself:'I do not know JAVA but I have nothing to lose if I stay. I'll give it a try'

Bill Gates: "Candidates who never had experience of managing more than 100 people may leave"2000 people leave the room.

Man from Bongo says to himself: "I never managed anybody by myself but I have nothing to lose if I stay. What can happen to me?' So he stays.

Bill Gates: "Candidates who do not have management diplomas may leave" 500 people leave the room.

Man from Bongo says to himself: "I left school at 16 (std seven) but what have I got to lose?' So he stays in the room.

Lastly, Bill Gates asked the candidates who do not speak Hutu and Tusi to leave. 498 people leave the room.
Man from Bongo says to himself: "I do not speak one word of Xitsonga but what do I have to lose?' So he stays and finds himself with one other candidate. Everyone else has gone.

Bill Gates joined them and said 'Apparently you are the only two candidates who speak Xitsonga, so I'd now like to hear you have a conversation together in that language.'

Calmly, Man from Bongo turns to the other candidate and says..."Mambo vipi?'

The other candidate answers: "Poa mkuu... Naona umeng'ang'ana kinoma...!"

Bongo ndiyo hivyo jamani...ki-ubishi ubishi hadi majuu!!