Sunday, October 17, 2010

JK KUMBE 'ANA-AKILI' MTWARA HATUHITAJI TENA MELI...

Ni kawaida kukuta hali hii ukiwa njiani.....sikupata taarifa kuhusu abiria wa gari hii...

Hapa ni Nangurukuru...Hata Maabasi ya NAJMA ni mapya kabisa kwa wale abiria wa Nachingwea!!,Mengine ni MAHUTA EXPRESS, THE BLUES_CHELSEA, BUTI n.k.Hey Mlio ughaibuni Mtwara Inapaa sasa hivi...Mabasi yanatoka stend ya Mtwara saa 2 asubuhi,na sio tena saa 11 alfajiri kama zamani...na yanafika Dar saa 9 alasiri.


SAFARI YANGU YA DAR ILIWEZESHWA NA HII 'BUS'
Mpaka Royal Coach zinatimba Mtwara..ila niwajuze tu,hili bus huduma zake za ndani sijazipenda!!Hawajaweza bado kushindana na bus za SUMRI na NG"ITU..humo ndani utapata soda,biscuits, keki...vilevile utasoma magazeti n.k. Hili bus ingawa ni 'ROYAL' lakini huwezi pata huduma hizi...!!

No comments:

Post a Comment